Bandar Seri Begawan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ace:Bandar Seri Begawan
d roboti Nyongeza: hif:Bandar Seri Begawan
Mstari 52: Mstari 52:
[[gl:Bandar Seri Begawan]]
[[gl:Bandar Seri Begawan]]
[[he:בנדר סרי בגוואן]]
[[he:בנדר סרי בגוואן]]
[[hif:Bandar Seri Begawan]]
[[hr:Bandar Seri Begawan]]
[[hr:Bandar Seri Begawan]]
[[ht:Banda Seri]]
[[ht:Banda Seri]]

Pitio la 19:06, 3 Februari 2010


Jiji la Bandar Seri Begawan
Nchi Brunei
Msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddin

Bandar Seri Begawan ni mji mkuu wa Brunei kwenye kisiwa cha Borneo mwenye wakazi 46,229 (1991). Iko kwa 4°55'N na 114°55'E.

Tangu kupatikana kwa utajiri wa mafuta ya petroli mji umepambwa na majengo mazuri kama vile jumba la Sultani, msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddien. makumbusho ya teknolojia ya Kimalay na makumbusho ya historia ya Brunei.

Kuna pia viwanda vya fenicha na vitambaa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bandar Seri Begawan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons