Densiti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Nyongeza: bn:ঘনত্ব
Mstari 22: Mstari 22:
[[be:Шчыльнасць]]
[[be:Шчыльнасць]]
[[bg:Плътност]]
[[bg:Плътност]]
[[bn:ঘনত্ব]]
[[ca:Densitat]]
[[ca:Densitat]]
[[ckb:چڕی]]
[[ckb:چڕی]]

Pitio la 16:38, 2 Februari 2010

Densiti ni kipimo cha kulinganisha masi na mjao wa gimba fulani. Alama yake ya kifizikia huwa ni ρ (rho).

Gimba lenye densiti kubwa huwa na mada nyingi katika mjao fulani. Gimba lenye densiti dogo huwa na mada kidogo katika mjao uleule. Densiti kubwa husababisha ya kwamba sisi tunaita kitu "kizito".

Vipimo kwa kawaida vya densiti huwa ni g/cm3 na kg/m3.

Maji yasiyo na chumvi ndani yake huwa na densiti 1. Lita 1 huwa na masi ya kilogramu 1.

Fomula yake ni

au