Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: la:Augustus Beernaert; cosmetic changes
Mstari 34: Mstari 34:
[[no:Auguste Beernaert]]
[[no:Auguste Beernaert]]
[[pl:Auguste Beernaert]]
[[pl:Auguste Beernaert]]
[[pnb:آگسٹے بیرنارٹ]]
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]]
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]]
[[ru:Беернарт, Огюст]]
[[ru:Беернарт, Огюст]]

Pitio la 06:34, 31 Januari 2010

Auguste Beernaert
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 18296 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Auguste Beernaert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.