Jamestown (St. Helena) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: war:Jamestown, Saint Helena
Mstari 13: Mstari 13:


}}
}}
[[Image:02 Last view of Jamestown St Helena June1970.jpg|300px|thumb|Jamestown mwaka [[1970]] inavyoonekana kutoka baharini]]
[[Picha:02 Last view of Jamestown St Helena June1970.jpg|300px|thumb|Jamestown mwaka [[1970]] inavyoonekana kutoka baharini]]
[[Image:Saint helena sm98.png|thumb|300px|right|Jamestown kisiwani [[Saint Helena]].]]
[[Picha:Saint helena sm98.png|thumb|300px|right|Jamestown kisiwani [[Saint Helena]].]]


'''Jamestown''' ni bandari na [[mji mkuu]] wa [[eneo la ng'ambo la Uingereza]] lenye visiwa vidogo vya [[Saint Helena]], [[Ascension]] na funguvisiwa ya [[Tristan da Cunha]]. Mji uko kisiwani St. Helena katika [[bahari ya Atlantiki]] takriban 1.868 [[km]] mbele ya pwani la [[Angola]]. Idadi ya wakazi inakaribia 1000.
'''Jamestown''' ni bandari na [[mji mkuu]] wa [[eneo la ng'ambo la Uingereza]] lenye visiwa vidogo vya [[Saint Helena]], [[Ascension]] na funguvisiwa ya [[Tristan da Cunha]]. Mji uko kisiwani St. Helena katika [[bahari ya Atlantiki]] takriban 1.868 [[km]] mbele ya pwani la [[Angola]]. Idadi ya wakazi inakaribia 1000.


Jamestown ilianzishwa mwaka [[1659]] na [[Kampuni ya Kiingereza ya India ya Mashariki]]. Miaka ya nyuma bandari ya Jamestown ilikuwa kituo muhimu cha safari za [[jahazi]] kubwa kati ya Uingereza, [[Afrika Kusini]] na [[India]]. Jina limetokana na jina la mfalme [[James II]] wa [[Uingereza]] na [[Uskoti]] (James VII kama mfalme wa Uskoti).
Jamestown ilianzishwa mwaka [[1659]] na [[Kampuni ya Kiingereza ya India ya Mashariki]]. Miaka ya nyuma bandari ya Jamestown ilikuwa kituo muhimu cha safari za [[jahazi]] kubwa kati ya Uingereza, [[Afrika Kusini]] na [[India]]. Jina limetokana na jina la mfalme [[James II]] wa [[Uingereza]] na [[Uskoti]] (James VII kama mfalme wa Uskoti).


Zamani wafanyabiashara wengi walipeleka dhahabu yao hadi St. Helena kwa sababu kisiwa kilikuwa na sifa ya kuwa mahali pa usalama kwa kutunza dhahabu. Haya yote imepungua hadi kupotea kabisa kwa sababu za mabadiliko ya teknolojia za benki na pia ya usafiri. Leo hii kuna meli tu ya [[RMS St Helena]] inayofika takriban mara 2 kwa mwezi ikitumia siku 4-5 kwa ajili ya safari hadi Afrika Kusini. Idadi ya wakazi wa Jamestown imeendelea kupungua.
Zamani wafanyabiashara wengi walipeleka dhahabu yao hadi St. Helena kwa sababu kisiwa kilikuwa na sifa ya kuwa mahali pa usalama kwa kutunza dhahabu. Haya yote imepungua hadi kupotea kabisa kwa sababu za mabadiliko ya teknolojia za benki na pia ya usafiri. Leo hii kuna meli tu ya [[RMS St Helena]] inayofika takriban mara 2 kwa mwezi ikitumia siku 4-5 kwa ajili ya safari hadi Afrika Kusini. Idadi ya wakazi wa Jamestown imeendelea kupungua.
Mstari 25: Mstari 25:


== Viungo vya Nje ==
== Viungo vya Nje ==
*[http://www.btinternet.com/~sa_sa/st_helena/st_helena_jamestown.html St Helena - Jamestown]
* [http://www.btinternet.com/~sa_sa/st_helena/st_helena_jamestown.html St Helena - Jamestown]


[[Category:Saint Helena]]
[[Jamii:Saint Helena]]
[[Category:Miji ya Atlantiki]]
[[Jamii:Miji ya Atlantiki]]
[[Category:Miji Mikuu Afrika]]
[[Jamii:Miji Mikuu Afrika]]


[[af:Jamestown, Sint Helena]]
[[af:Jamestown, Sint Helena]]
Mstari 57: Mstari 57:
[[no:Jamestown (St. Helena)]]
[[no:Jamestown (St. Helena)]]
[[nov:Jamestown, Sankte Helena]]
[[nov:Jamestown, Sankte Helena]]
[[os:Джеймстаун (Сыгъдæг Еленæйы сакъадах)]]
[[pl:Jamestown (Święta Helena)]]
[[pl:Jamestown (Święta Helena)]]
[[pnb:جیمزٹاؤن]]
[[pnb:جیمزٹاؤن]]

Pitio la 21:50, 27 Januari 2010


Jiji la Jamestown
Nchi Saint Helena
Jamestown mwaka 1970 inavyoonekana kutoka baharini
Jamestown kisiwani Saint Helena.

Jamestown ni bandari na mji mkuu wa eneo la ng'ambo la Uingereza lenye visiwa vidogo vya Saint Helena, Ascension na funguvisiwa ya Tristan da Cunha. Mji uko kisiwani St. Helena katika bahari ya Atlantiki takriban 1.868 km mbele ya pwani la Angola. Idadi ya wakazi inakaribia 1000.

Jamestown ilianzishwa mwaka 1659 na Kampuni ya Kiingereza ya India ya Mashariki. Miaka ya nyuma bandari ya Jamestown ilikuwa kituo muhimu cha safari za jahazi kubwa kati ya Uingereza, Afrika Kusini na India. Jina limetokana na jina la mfalme James II wa Uingereza na Uskoti (James VII kama mfalme wa Uskoti).

Zamani wafanyabiashara wengi walipeleka dhahabu yao hadi St. Helena kwa sababu kisiwa kilikuwa na sifa ya kuwa mahali pa usalama kwa kutunza dhahabu. Haya yote imepungua hadi kupotea kabisa kwa sababu za mabadiliko ya teknolojia za benki na pia ya usafiri. Leo hii kuna meli tu ya RMS St Helena inayofika takriban mara 2 kwa mwezi ikitumia siku 4-5 kwa ajili ya safari hadi Afrika Kusini. Idadi ya wakazi wa Jamestown imeendelea kupungua.

Mji mwenyewe ni hasa barabara moja yenye nyumba za aina ya ujenzi wa kikoloni cha Kiingereza.

Viungo vya Nje