Roseau : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: eu:Roseau
d roboti Nyongeza: sah:Розо
Mstari 69: Mstari 69:
[[ro:Roseau]]
[[ro:Roseau]]
[[ru:Розо]]
[[ru:Розо]]
[[sah:Розо]]
[[sh:Roseau]]
[[sh:Roseau]]
[[simple:Roseau]]
[[simple:Roseau]]

Pitio la 18:34, 21 Januari 2010


Jiji la Roseau
Nchi Dominica
Roseau
Faili:Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii.jpg
Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii

Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.

Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Roseau kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.