Dzeta : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: an:Zeta (letra griega)
d roboti Nyongeza: lv:Zēta; cosmetic changes
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Zeta uc lc.svg|thumb|200px|Zeta]]
[[Picha:Zeta uc lc.svg|thumb|200px|Zeta]]


'''Dzeta''' (pia: '''Zeta''') ni herufi ya sita katika [[Alfabeti ya Kigiriki]]. Inaandikwa kama''' ζ''' (alama ya kawaida) au '''Ζ''' (alama kubwa). Zamani za [[Kigiriki cha Kale]] ilikuwa pia alama kwa namba 7.
'''Dzeta''' (pia: '''Zeta''') ni herufi ya sita katika [[Alfabeti ya Kigiriki]]. Inaandikwa kama''' ζ''' (alama ya kawaida) au '''Ζ''' (alama kubwa). Zamani za [[Kigiriki cha Kale]] ilikuwa pia alama kwa namba 7.
Mstari 5: Mstari 5:
Asili ya dzeta ni herufi ya [[kifinisia]] ya zayin (tazama makala ya herufi [[Z]]). Matamshi yake ilikuwa "dz", katika Kigiriki cha kisasa ni zaidi kama Z ya Kiswahili.
Asili ya dzeta ni herufi ya [[kifinisia]] ya zayin (tazama makala ya herufi [[Z]]). Matamshi yake ilikuwa "dz", katika Kigiriki cha kisasa ni zaidi kama Z ya Kiswahili.


Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki ζ inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.
Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki ζ inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.


[[Jamii:Alfabeti ya Kigiriki]]
[[Jamii:Alfabeti ya Kigiriki]]
Mstari 44: Mstari 44:
[[ku:Zeta]]
[[ku:Zeta]]
[[la:Zeta]]
[[la:Zeta]]
[[lv:Zēta]]
[[ms:Zeta]]
[[ms:Zeta]]
[[nds:Zeta]]
[[nds:Zeta]]

Pitio la 01:55, 20 Januari 2010

Zeta

Dzeta (pia: Zeta) ni herufi ya sita katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama ζ (alama ya kawaida) au Ζ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia alama kwa namba 7.

Asili ya dzeta ni herufi ya kifinisia ya zayin (tazama makala ya herufi Z). Matamshi yake ilikuwa "dz", katika Kigiriki cha kisasa ni zaidi kama Z ya Kiswahili.

Jinsi ilivyo kawaida na herufi mbalimbali za kigiriki ζ inatumiwa kama kifupi kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.