Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: szl:Kwadratkilomyjter |
d roboti Nyongeza: oc:Quilomètre carrat |
||
Mstari 73: | Mstari 73: | ||
[[nn:Kvadratkilometer]] |
[[nn:Kvadratkilometer]] |
||
[[no:Kvadratkilometer]] |
[[no:Kvadratkilometer]] |
||
[[oc:Quilomètre carrat]] |
|||
[[pl:Kilometr kwadratowy]] |
[[pl:Kilometr kwadratowy]] |
||
[[pt:Quilómetro quadrado]] |
[[pt:Quilómetro quadrado]] |
Pitio la 04:07, 6 Januari 2010
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047