Milwaukee, Wisconsin : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: yo:Milwaukee, Wisconsin
Mstari 68: Mstari 68:
[[lt:Milvokis]]
[[lt:Milvokis]]
[[lv:Milvoki]]
[[lv:Milvoki]]
[[mk:Милвоки, Висконсин]]
[[mk:Милвоки (Висконсин)]]
[[mr:मिलवॉकी, विस्कॉन्सिन]]
[[mr:मिलवॉकी, विस्कॉन्सिन]]
[[nl:Milwaukee]]
[[nl:Milwaukee]]

Pitio la 08:52, 5 Januari 2010


Jiji la Milwaukee
Nchi Marekani
Jimbo Wisconsin
Kitongoji Milwaukee
Waukesha
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 602,191
Tovuti:  www.city.milwaukee.gov
Milwaukee na Ziwa Michigan
Milwaukee, Wisconsin

Milwaukee ni mji mkubwa wa Wisconsin ya kusini. Ni mji wa ishirini na tatu kwa ukubwa katika Marekani. Iko kando ya Ziwa Michigan.

Mji una wakazi 602,191 (pamoja na mitaa ya nje: 1,739,497) kwenye eneo la 251 km².

Jina la Milwaukee latoka katika lugha ya Kialgonkian likimaanisha bara sheshe. Mji uliundwa mwaka 1818. Mji upo m 188 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Milwaukee, Wisconsin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.