Ansgar Mtakatifu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Nyongeza: bg:Ансгар
Mstari 44: Mstari 44:
[[Jamii:Waliofariki 865]]
[[Jamii:Waliofariki 865]]


[[bg:Ансгар]]
[[cs:Ansgar]]
[[cs:Ansgar]]
[[da:Ansgar]]
[[da:Ansgar]]

Pitio la 10:21, 3 Januari 2010

Mtakatifu Ansgar (labda 8 Septemba 8013 Februari 865) alikuwa askofu kutoka Ufaransa.

Ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni 3 Februari.

Maisha

Ansgar alizaliwa Amiens (Ufaransa) mwanzoni mwa karne ya 9.

Alisoma katika monasteri huko Corbie.

Mwaka 826 alienda kuhubiri Injili nchini Denmark, ambako hakufanikisha sana, hivyo akaenda Uswidi.

Aliteuliwa kuwa Askofu wa Hamburg, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Pia alikuwa balozi wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi.

Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya uenezazi Injili, lakini hakukata tamaa.

Alikufa huko Bremen (Ujerumani) mwaka 865.

Tazama pia

Marejeo

  • "Sala ya Kanisa - Vipindi vya Liturjia", Toleo la Tatu 1996, Ndanda - Peramiho: Benedictine Publications, uk.1281

Viungo vya nje


Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.