Seoul : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: be:Горад Сеул
d roboti Nyongeza: ext:Seúl
Mstari 44: Mstari 44:
[[et:Sŏul]]
[[et:Sŏul]]
[[eu:Seul]]
[[eu:Seul]]
[[ext:Seúl]]
[[fa:سئول]]
[[fa:سئول]]
[[fi:Soul (kaupunki)]]
[[fi:Soul (kaupunki)]]

Pitio la 23:25, 30 Desemba 2009

Majengo ya kihistoria na ya kisasa mjini Seoul

Seoul ni mji mkuu na mji mkubwa katika Korea ya Kusini. Kihistoria na hadi 1945 ilikuwa mji mkuu wa Korea yote. Ina wakazi 10,276,968 kwenye eneo la 610 km².

Seoul iko kando la mto Han katikati ya rasi ya Korea karibu na mpaka na Korea ya Kaskazini. Jiji ni kitovu cha siasa, uchumi, utamaduni na elimu ya Korea Kusini.

Seoul ilikuwa mahali pa michezo ya olimpiki ya 1988. Kigezo:Link FA

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Seoul kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.