Sumeri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: new:सुमेर |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: fiu-vro:Sumõr; cosmetic changes |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[ |
[[Picha:Sales contract Shuruppak Louvre AO3760.jpg|thumb|300px|Hati ya Kisumeri yaonyesha mapatano ya kuuza nyumba na shamba]] |
||
'''Sumeri''' ilikuwa kati ya tamaduni za kwanza za juu katika [[Asia ya Magharibi]] na hasa [[Mesopotamia]] ([[Iraq]] ya leo). |
'''Sumeri''' ilikuwa kati ya tamaduni za kwanza za juu katika [[Asia ya Magharibi]] na hasa [[Mesopotamia]] ([[Iraq]] ya leo). Labda ilikuwa utamaduni wa kwanza wa kujenga miji. |
||
Sumeri ilianzishwa na kuendelea kwenye nchi yenye rutba kati ya mito [[Frati]] na [[Hidekeli]] tangu mwaka 3,500 [[KK]]. Elimu ya akiolojia iliweza kuthebitisha ya kwamba Wasumeri walijenga miji na kuendeleza [[maandishi]]. Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa kuchora maneno kwenye vipande vya udongo wa ufinyanzi na kuvichoma. Imetambuliwa pia ya kwamba waliweka misingi muhimu kwa [[kalenda]] za leo kwa kugawa [[siku]] katika masaa 24 na [[saa]] katika [[dakika]] 60. |
Sumeri ilianzishwa na kuendelea kwenye nchi yenye rutba kati ya mito [[Frati]] na [[Hidekeli]] tangu mwaka 3,500 [[KK]]. Elimu ya akiolojia iliweza kuthebitisha ya kwamba Wasumeri walijenga miji na kuendeleza [[maandishi]]. Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa kuchora maneno kwenye vipande vya udongo wa ufinyanzi na kuvichoma. Imetambuliwa pia ya kwamba waliweka misingi muhimu kwa [[kalenda]] za leo kwa kugawa [[siku]] katika masaa 24 na [[saa]] katika [[dakika]] 60. |
||
Wasumeri waliishi katika [[dola-mji|dola-miji]] iliyotawaliwa |
Wasumeri waliishi katika [[dola-mji|dola-miji]] iliyotawaliwa na [[mfalme|wafalme]] au ma[[kuhani]]. |
||
{{Mbegu}} |
{{Mbegu}} |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
<!-- interwiki --> |
<!-- interwiki --> |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
{{Link FA|ka}} |
{{Link FA|ka}} |
||
Mstari 43: | Mstari 43: | ||
[[fa:سومریان]] |
[[fa:سومریان]] |
||
[[fi:Sumer]] |
[[fi:Sumer]] |
||
[[fiu-vro:Sumõr]] |
|||
[[fr:Sumer]] |
[[fr:Sumer]] |
||
[[fy:Sumearjers]] |
[[fy:Sumearjers]] |
Pitio la 23:40, 29 Desemba 2009
Sumeri ilikuwa kati ya tamaduni za kwanza za juu katika Asia ya Magharibi na hasa Mesopotamia (Iraq ya leo). Labda ilikuwa utamaduni wa kwanza wa kujenga miji.
Sumeri ilianzishwa na kuendelea kwenye nchi yenye rutba kati ya mito Frati na Hidekeli tangu mwaka 3,500 KK. Elimu ya akiolojia iliweza kuthebitisha ya kwamba Wasumeri walijenga miji na kuendeleza maandishi. Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa kuchora maneno kwenye vipande vya udongo wa ufinyanzi na kuvichoma. Imetambuliwa pia ya kwamba waliweka misingi muhimu kwa kalenda za leo kwa kugawa siku katika masaa 24 na saa katika dakika 60.
Wasumeri waliishi katika dola-miji iliyotawaliwa na wafalme au makuhani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |