Annise Parker : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
dNo edit summary
Mstari 12: Mstari 12:
[[Category:Watu Walio Hai]]
[[Category:Watu Walio Hai]]


[[ca:Annise Parker]]
[[cs:Annise Parkerová]]
[[cs:Annise Parkerová]]
[[da:Annise Parker]]
[[da:Annise Parker]]

Pitio la 17:13, 24 Desemba 2009

Annise Parker

Annise Danette Parker (amezaliwa tar. 17 Mei, 1956) ni meya mpya wa mji wa Houston jimboni Texas. Ni meya shoga wa kwanza wa mji mkubwa nchini Marekani. Wakati wa kampeni za uchaguzi alijulikana sana wakati huo alipojitangaza kuwa ni shoga. Parker ni ni mwanachama wa Chama cha Kidemokrasia na alikuwa ni mwanachama wa baraza la mji katika Houston.

Viungo vya Nje