Umoja wa Ulaya : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: yo:Ìrẹ́pọ̀ Europe
d roboti Badiliko: yo:Ìṣọ̀kan Europe
Mstari 292: Mstari 292:
[[wuu:欧洲国家联盟]]
[[wuu:欧洲国家联盟]]
[[yi:אייראפעישער פארבאנד]]
[[yi:אייראפעישער פארבאנד]]
[[yo:Ìrẹ́pọ̀ Europe]]
[[yo:Ìṣọ̀kan Europe]]
[[zh:欧洲联盟]]
[[zh:欧洲联盟]]
[[zh-min-nan:Europa Liân-bêng]]
[[zh-min-nan:Europa Liân-bêng]]

Pitio la 17:15, 22 Desemba 2009

Umoja wa Ulaya

Umoja wa Ulaya (Kifupi: EU) ni maungano ya nchi 27 za Ulaya. Ulianzishwa mwaka 1991 kwenye msingi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya. Shabaha kuu zilikuwa kujenga uchumi wa pamoja, kuboresha maisha ya watu wa Ulaya na kuzuia vita kati ya nchi za Ulaya.

Nchi 12 za Umoja hutumia pesa ileile ya Euro, kuanzia 1 Januari 2007 Slovenia imekuwa nchi ya 13. Nchi nyingi za Umoja zilipatana kufungua mipaka yao bila vizuizi kwa wakazi wote.

Historia

Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya ilibadilisha jina lake 1992 kufuatana na mikataba ya Maastricht kuwa Umoja wa Ulaya. Nchi wanachama zilipatana kujenga siasa ya pamoja ya kiuchumi, kifedha, kisheria na katika mambo ya nje.

Mapatano ya Schengen ilifungua mipaka ili wakazi wa nchi hizi wanasafiri bila pasipoti wala vibali.

Nchi 10 zilijiunga tena na EU mwaka 2004. Mbili zaidi imeingia 2007.

Uhuru wa kuhama

Kila mtu mwenye uraia wa nchi ya Umoja anaruhusiwa kuhamia nchi yoyote nyingine na kufanya kazi au biashara huko bila vibali vya pekee.

Vilevile bihdaa zote zinazotengenezwa kote katika EU zinaweza kuuzwa katika kila nchi. Hii ni sababu ya kuwa na sheria za pamoja zinazotawala masharti ya bidhaa.

Vyombo vya Umoja

Halmashauri ya Ulaya

Halmashauri hii ni mkutano wa viongozi wa serikali za nchi wanachama. Wanakutana mara mbili kwa mwaka na kutoa maazimo muhimu.

Nafasi ya uraisi hubadilika kila baada ya miezi 6. Ufini ilishika uraisi kati ya Julai 2006 hadi Desemba 2006, ikafuatiliwa na Ujerumani tangu Januari hadi Juni 2007.

Baraza za mawaziri

Katika baraza hizi mawaziri ya Kilimo, Sheria, Mambo ya Nje hukutana na kupanga siasa ya pamoja.

Kamati ya Ulaya

Hii ni kamati ya utawala inayotekeleza maazimio ya Halmashauri na bunge. Kuna makamishna 24 na mwenyekiti. Inaelekea kuwa serikali lakini haina madaraka ya serikali bado.

Bunge la Ulaya

Bunge la Ulaya lina wabunge 732 wanaochaguliwa na wananchi kila baada ya nchi tano.

Nchi wanachama za EU

Nchi (jina la kienyeji - kifupi)
Austria (Österreich - AT) Bulgaria (Bălgarija - BG) Cyprus (Kypros - CY) Denmark (Danmark - DK) Eire (Éire - IE) Estonia (Eesti - EE) Hispania (España - ES) Hungaria (Magyarország - HU) Italia (Italia - IT) Latvia (Latvija - LV) Lithuania (Lietuva - LT) Luxemburg (Luxembourg - LU) Malta (Malta - MT) Polonia (Polska - PL) Romania (România - RO) Slovakia (Slovensko - SK) Slovenia (Slovenija - SI) Ubelgiji (België/Belgique - BE) Ucheki (Česká republika - CZ) Ufaransa (France - FR) Ufini (Suomi - FI) Ugiriki (Ellada - GR) Uholanzi (Nederland - NL) Uingereza (United Kingdom - UK) Ujerumani (Deutschland - DE) Ureno (Portugal - PT) Uswidi (Sverige - SE)
Wanaoomba kupokelewa: Kroatia (Hrvatska - HR) Masedonia (** - **) Uturuki (Türkiye - TR)

Wanachama tangu 1958 (waanzilishaji)

Wanachama tangu 1973

Mwanachama tangu 1981

Wanachama tangu 1986

Wanachama tangu 1995

Wanachama tangu 2004

Wanachama tangu 2007

Nchi zinazoomba uanachama

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons

Kigezo:Link FA

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA