Maputo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
latd longd
dNo edit summary
Mstari 15: Mstari 15:
|website =
|website =


}}
}}25°58′S 32°35′E
[[Picha:Maputo.jpg|thumb|300px|left|Maputo inavyoonekana kutoka bahari]]
[[Picha:Maputo.jpg|thumb|300px|left|Maputo inavyoonekana kutoka bahari]]
[[Picha:Mozambique Provinces Maputo.png|thumb|'''Maputo''' katika Msumbiji]]
[[Picha:Mozambique Provinces Maputo.png|thumb|'''Maputo''' katika Msumbiji]]

Pitio la 04:16, 5 Desemba 2009


Jiji la Maputo
Majiranukta: 25°58′00″S 32°35′00″E / 25.96667°S 32.58333°E / -25.96667; 32.58333
Nchi Msumbiji
Mkoa Maputo Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,200,000
Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Maputo katika Msumbiji
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905

Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.

Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.

Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Msumbiji bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maputo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.