Maputo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Jamii:Mkoa ya Msumbiji
Jamii:Mikoa ya Msumbiji
Mstari 30: Mstari 30:
[[Jamii:Miji Mikuu Afrika]]
[[Jamii:Miji Mikuu Afrika]]
[[Jamii:Miji ya Msumbiji]]
[[Jamii:Miji ya Msumbiji]]
[[Jamii:Mkoa ya Msumbiji]]
[[Jamii:Mikoa ya Msumbiji]]
[[Jamii:Maputo| ]]
[[Jamii:Maputo| ]]



Pitio la 04:00, 5 Desemba 2009


Jiji la Maputo
Nchi Msumbiji
Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Maputo katika Msumbiji
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905

Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.

Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.

Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Msumbiji bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maputo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.