Trinidad na Tobago : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
roboti Badiliko: yo:Trinidad ati Tobago
mbegu using Project:AWB
Mstari 62: Mstari 62:
[[Jamii:Nchi za visiwa]]
[[Jamii:Nchi za visiwa]]
[[Jamii:Nchi za Amerika ya Kati]]
[[Jamii:Nchi za Amerika ya Kati]]
{{mbegu-jio}}
{{mbegu-jio-Karibi}}


{{Link FA|ru}}
{{Link FA|ru}}

Pitio la 19:23, 4 Desemba 2009

Trinidad na Tobago

Jamhuri ya Trinidad na Tobago ni nchi ya visiwani katika Karibi ya kusini karibu na pwani ya Venezuela upande wa kusini ya kisiwa cha Grenada cha Antili Ndogo. Nchi jirani nyingine kuvukia bahari ni Barbados na Guyana.

Nchi ina eneo la 5,128 km² ambalo karibu lote ni kisiwa kikuu cha Trinidad. Tobago ina asilimia 6 za eneo pekee pamoja na 4% ya wakazi. Kuna visiwa vidogo vingine 21.

Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Trinidad na Tobago kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA