Tobias Asser : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
d robot Adding: sv:Tobias Asser |
||
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
[[pt:Tobias Michael Carel Asser]] |
[[pt:Tobias Michael Carel Asser]] |
||
[[ru:Ассер, Тобиас]] |
[[ru:Ассер, Тобиас]] |
||
[[sv:Tobias Asser]] |
Pitio la 16:13, 3 Februari 2007
Tobias Michael Carel Asser (28 Aprili, 1838 – 29 Julai, 1913) alikuwa mwanasheria kutoka nchi ya Uholanzi. Alikuwa profesa wa sheria kwenye Chuo Kikuu cha Amsterdam. Mwaka wa 1899 na tena 1907 alikuwa mwakilishi wa Uholanzi kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague. Mwaka wa 1911, pamoja na Alfred Fried alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |