Kisiwa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mwl:Ilha
d roboti Nyongeza: km:កោះ
Mstari 67: Mstari 67:
[[ka:კუნძული]]
[[ka:კუნძული]]
[[kk:Арал]]
[[kk:Арал]]
[[km:កោះ]]
[[ko:섬]]
[[ko:섬]]
[[ksh:Ėnsel]]
[[ksh:Ėnsel]]

Pitio la 20:30, 28 Novemba 2009

Faili:Island.jpg
Kisiwa kidogo
Kisiwa kidogo au mwamba tu?

Kisiwa ni eneo la nchi kavu ndani ya bahari, ziwa au mto linalozungukwa na maji wakati wote. Ukubwa wake hautoshi kuitwa "bara".

Visiwa vilivyoko karibu kama kundi mara nyingi huitwa "funguvisiwa".

Tofauti kati ya kisiwa kikubwa na bara dogo limeamuliwa kati ya

  • Greenland inayoitwa kisiwa kikubwa duniani chenye eneo la kilomita za mraba milioni 2.1 na
  • Australia inayotazamiwa kuwa bara dogo duniani lenye eneo la kilomita za mraba milioni 7.7.