Bandar Seri Begawan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: af:Bandar Seri Begawan
d roboti Nyongeza: yo:Bandar Seri Begawan
Mstari 97: Mstari 97:
[[vo:Bandar Seri Begawan]]
[[vo:Bandar Seri Begawan]]
[[war:Bandar Seri Begawan]]
[[war:Bandar Seri Begawan]]
[[yo:Bandar Seri Begawan]]
[[zh:斯里巴加湾市]]
[[zh:斯里巴加湾市]]
[[zh-min-nan:Bandar Seri Begawan]]
[[zh-min-nan:Bandar Seri Begawan]]

Pitio la 19:26, 28 Novemba 2009


Jiji la Bandar Seri Begawan
Nchi Brunei
Msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddin

Bandar Seri Begawan ni mji mkuu wa Brunei kwenye kisiwa cha Borneo mwenye wakazi 46,229 (1991). Iko kwa 4°55'N na 114°55'E.

Tangu kupatikana kwa utajiri wa mafuta ya petroli mji umepambwa na majengo mazuri kama vile jumba la Sultani, msikiti ya Sultan Omar Ali Saifuddien. makumbusho ya teknolojia ya Kimalay na makumbusho ya historia ya Brunei.

Kuna pia viwanda vya fenicha na vitambaa.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bandar Seri Begawan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons