Nuevo León : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ro:Nuevo León (stat Mexic); cosmetic changes |
d roboti Nyongeza: an:Nuevo León |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
[[Jamii:Nuevo León| ]] |
[[Jamii:Nuevo León| ]] |
||
[[an:Nuevo León]] |
|||
[[ar:ولاية نويفو ليون]] |
[[ar:ولاية نويفو ليون]] |
||
[[ast:Nuevo León]] |
[[ast:Nuevo León]] |
Pitio la 16:52, 26 Novemba 2009
Nuevo León (León mpya, ufalme wa kale katika Hispania) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kaskazini-mashariki ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Monterrey.
Imepakana na Coahuila, Tamaulipas na San Luis Potosí. Upande wa kaskazini kuna mpeka na Marekani (kilomita 15 pekee).
Jimbo lina wakazi wapatao 4,199,292 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 64,210.
Gavana wa jimbo ni Natividad González Parás.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Miji Mikubwa
- Monterrey (1,133,814)
- Guadalupe (691,931)
- San Nicolás de los Garza (476,761)
- Santa Catarina (259,896)
- San Pedro Garza García (122,009)
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nuevo León kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |