Pearl S. Buck : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: cs:Pearl S. Bucková |
d {{defaultsort}} |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
'''Pearl Buck''' ([[26 Juni]], [[1892]] – [[6 Machi]], [[1973]]) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Jina lake la kuzaliwa ni ''Pearl Comfort Sydenstricker''; Buck ni jina la mume wake. Lakini aliandika chini ya jina la ''John Sedges''. Anajulikana hasa kwa [[riwaya]] zake juu ya maisha katika nchi ya [[Uchina]] ambapo alilelewa akiwa mtoto wa wamisionari. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fasihi'''. |
'''Pearl Buck''' ([[26 Juni]], [[1892]] – [[6 Machi]], [[1973]]) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya [[Marekani]]. Jina lake la kuzaliwa ni ''Pearl Comfort Sydenstricker''; Buck ni jina la mume wake. Lakini aliandika chini ya jina la ''John Sedges''. Anajulikana hasa kwa [[riwaya]] zake juu ya maisha katika nchi ya [[Uchina]] ambapo alilelewa akiwa mtoto wa wamisionari. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fasihi'''. |
||
{{DEFAULTSORT:Buck, Pearl S.}} |
|||
[[Category:Waandishi wa Marekani|B]] |
|||
[[Category: |
[[Category:Waandishi wa Marekani]] |
||
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] |
|||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
Pitio la 16:19, 1 Februari 2007
Pearl Buck (26 Juni, 1892 – 6 Machi, 1973) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Jina lake la kuzaliwa ni Pearl Comfort Sydenstricker; Buck ni jina la mume wake. Lakini aliandika chini ya jina la John Sedges. Anajulikana hasa kwa riwaya zake juu ya maisha katika nchi ya Uchina ambapo alilelewa akiwa mtoto wa wamisionari. Mwaka wa 1938 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |