Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: bg:Койне
d roboti Badiliko: la:Dialectus Graeca Communis
Mstari 25: Mstari 25:
[[ja:コイネー]]
[[ja:コイネー]]
[[ko:코이네 그리스어]]
[[ko:코이네 그리스어]]
[[la:Koine]]
[[la:Dialectus Graeca Communis]]
[[nds:Koine Greeksch]]
[[nds:Koine Greeksch]]
[[nl:Koinè]]
[[nl:Koinè]]

Pitio la 20:09, 24 Novemba 2009

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha kale kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".