Wilaya ya Kigamboni : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
→‎Marejeo: tanzania-geo-stub ==> mbegu-jio-TZ, Replaced: {{tanzania-geo-stub}} → {{mbegu-jio-TZ}}, using AWB
kigezo infobox settlement using AWB
Mstari 1: Mstari 1:
{{Infobox Settlement
|jina_rasmi = Kata ya Kigamboni
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|pushpin_map = Tanzania
|pushpin_map_caption = Mahali pa Kigamboni katika Tanzania
|settlement_type = Kata
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Tanzania]]
|subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]]
|subdivision_name1 = [[Mkoa wa Dar es Salaam|Dar es Salaam]]
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]]
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Temeke|Temeke]]
|wakazi_kwa_ujumla = 36701
|latd=6 |latm=52 |lats=8 |latNS=S
|longd=39 |longm=15 |longs=40 |longEW=E
|website =
}}
[[Picha:DarEsSalaam-Skyline.jpg|thumb|200px|Feri ya Kigamboni mjini Daressalaam]]
[[Picha:DarEsSalaam-Skyline.jpg|thumb|200px|Feri ya Kigamboni mjini Daressalaam]]
[[Image:DarEsSalaam-KigamboniBeach.jpg|thumb|200px|Mapumziko Kigamboni ufukoni]]
[[Image:DarEsSalaam-KigamboniBeach.jpg|thumb|200px|Mapumziko Kigamboni ufukoni]]

Pitio la 05:19, 24 Novemba 2009


Kata ya Kigamboni
Kata ya Kigamboni is located in Tanzania
Kata ya Kigamboni
Kata ya Kigamboni

Mahali pa Kigamboni katika Tanzania

Majiranukta: 6°52′8″S 39°15′40″E / 6.86889°S 39.26111°E / -6.86889; 39.26111
Nchi Tanzania
Mkoa Dar es Salaam
Wilaya Temeke
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 36,701
Feri ya Kigamboni mjini Daressalaam
Mapumziko Kigamboni ufukoni

Wilaya ya Kigamboni ni jina la kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 36,701 waishio humo. [1]

Kigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la Dar es Salaam kwa maji ya Kurasini Creek. Mawasiliano yapo kwa njia ya feri kati ya Kigamboni na Kivukoni upande wa jiji. Kuna pia barabara inayozunguka bandari lakini njia hii ni mbali mno ni kilomita zaidi ya hamsini hadi kitovu cha jiji kwa njia ya nchi kavu. Kuna mipango ya kujenga daraja.

Kiasili sehemu hii ilikuwa kijiji cha wavuwi lakini katika miaka ya nyuma watu wa jijini wamejenga nyumba na hoteli za kitalii zimeenea kwenye ufuko wa Bahari Hindi.

Marejeo

  1. "2002 Population and Housing Census General Report" (kwa Kiingereza). Government of Tanzania. Iliwekwa mnamo 2008-08-21. 
Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania

Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni | Sandali | Tandika | Temeke | Toangoma | Yombo Vituka