Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: et:Idaslaavi keeled Modifying: ja:東スラヴ語群 |
d robot Adding: es:Lenguas eslavas orientales |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[de:Ostslawische Sprachen]] |
[[de:Ostslawische Sprachen]] |
||
[[en:East Slavic languages]] |
[[en:East Slavic languages]] |
||
[[es:Lenguas eslavas orientales]] |
|||
[[et:Idaslaavi keeled]] |
[[et:Idaslaavi keeled]] |
||
[[fi:Itäslaavilaiset kielet]] |
[[fi:Itäslaavilaiset kielet]] |
Pitio la 02:44, 28 Januari 2007
Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelorus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.
Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.
Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |