Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: et:Idaslaavi keeled Modifying: ja:東スラヴ語群
Mstari 19: Mstari 19:
[[de:Ostslawische Sprachen]]
[[de:Ostslawische Sprachen]]
[[en:East Slavic languages]]
[[en:East Slavic languages]]
[[es:Lenguas eslavas orientales]]
[[et:Idaslaavi keeled]]
[[et:Idaslaavi keeled]]
[[fi:Itäslaavilaiset kielet]]
[[fi:Itäslaavilaiset kielet]]

Pitio la 02:44, 28 Januari 2007

Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Magharibi ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Mashariki ni lugha rasmi;
Nchi ambako lugha ya Kislavoni cha Kusini ni lugha rasmi

Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelorus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.

Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.

Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.