Babu wa Kanisa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Padre della Chiesa Badiliko: ca:Pare de l'Església
d roboti Nyongeza: hr:Crkveni oci
Mstari 31: Mstari 31:
[[gl:Pais da Igrexa]]
[[gl:Pais da Igrexa]]
[[he:אבות הנצרות]]
[[he:אבות הנצרות]]
[[hr:Crkveni oci]]
[[hu:Egyházatyák]]
[[hu:Egyházatyák]]
[[ia:Patres del Ecclesia]]
[[ia:Patres del Ecclesia]]

Pitio la 03:05, 16 Novemba 2009

Babu wa Kanisa ni jina la heshima ambalo kuanzia karne IV Kanisa Katoliki limewapatia Wakristo wa kale (hadi mwaka 750 hivi), wenye utakatifu, elimu na imani sahihi, ambao mafundisho yao yanawezesha kujua mapokeo ya Mitume.

Orodha ya kwanza ya mababu wa Kanisa iliandikwa katika Hati ya Gelasi (karne VI); baadhi yao waliongezewa jina la Mwalimu wa Kanisa.

Muhimu zaidi upande wa Mashariki ni: Atanasi, Basili Mkuu, Gregori wa Nazienzi na Yohane Krisostomo. Upande wa Magharibi ni: Ambrosi, Agostino wa Hippo, Jeromu na Papa Gregori I.

Viungo vya nje