Missouri (mto) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: mwl:Riu Missouri |
Jamii:Mto Missouri |
||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
[[Category:Mito ya Marekani]] |
[[Category:Mito ya Marekani]] |
||
[[Jamii:Mto Mississippi]] |
[[Jamii:Mto Mississippi]] |
||
[[Jamii:Mto Missouri]] |
|||
[[ar:نهر ميزوري]] |
[[ar:نهر ميزوري]] |
Pitio la 21:18, 14 Novemba 2009
Mto Missouri ni mto mkubwa wa Marekani na tawimto muhimu zaidi la Mississippi. Ni mto mrefu kushinda ule wa Missisippi na ni mto mrefu katika Amerika ya Kaskazini.
Chanzo cha mto kipo kwenye milima ya Rocky Mountains katika jimbo la Montana. Missouri inaendelea kupita majimbo ya North Dakota, South Dakota, Iowa, Nebraska, Missouri na Kansas.
Inaishia katika Missisippi karibu na mji wa Saint Louis, Missouri.