Uprotestanti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: pdc:Brodeschdant; cosmetic changes
Mstari 3: Mstari 3:
== Asili ya jina ==
== Asili ya jina ==


Mwaka [[1529]], kikao cha Bunge la [[Speyer]] ([[Ujerumani]]) lilikataza tena uenezaji wa Matengenezo nchini mpaka [[Mtaguso mkuu]] utakaporudisha utaratibu ndaniya [[Kanisa]].
Mwaka [[1529]], kikao cha Bunge la [[Speyer]] ([[Ujerumani]]) lilikataza tena uenezaji wa Matengenezo nchini mpaka [[Mtaguso mkuu]] utakaporudisha utaratibu ndaniya [[Kanisa]].


Lakini watawala waliomuunga mkono Luther walitoa hati ya pamoja inayoanza na maneno ''Protestamur'', yaani 'Tunapinga'.
Lakini watawala waliomuunga mkono Luther walitoa hati ya pamoja inayoanza na maneno ''Protestamur'', yaani 'Tunapinga'.
Mstari 12: Mstari 12:


Uprotestanti unagawanyika katika maelfu ya madhehebu tofauti, lakini inawezekana kutambua mambo kadhaa yanayolingana katika yote:
Uprotestanti unagawanyika katika maelfu ya madhehebu tofauti, lakini inawezekana kutambua mambo kadhaa yanayolingana katika yote:
*kusisitiza [[Biblia]] kama msingi wa [[imani]].
* kusisitiza [[Biblia]] kama msingi wa [[imani]].
*kusisitiza "[[wokovu]] kwa njia ya imani".
* kusisitiza "[[wokovu]] kwa njia ya imani".
*kusisitiza ukosefu wa binadamu na haja ya damu ya [[Yesu]] kama kafara iliyopangwa na [[Mungu]].
* kusisitiza ukosefu wa binadamu na haja ya damu ya [[Yesu]] kama kafara iliyopangwa na [[Mungu]].


[[Category:Ukristo]]
[[Jamii:Ukristo]]


[[af:Protestantisme]]
[[af:Protestantisme]]
Mstari 80: Mstari 80:
[[nrm:Récriauntisme]]
[[nrm:Récriauntisme]]
[[oc:Protestantisme]]
[[oc:Protestantisme]]
[[pdc:Brodeschdant]]
[[pl:Protestantyzm]]
[[pl:Protestantyzm]]
[[pt:Protestantismo]]
[[pt:Protestantismo]]

Pitio la 16:56, 13 Novemba 2009

Uprotestanti ni aina ya Ukristo iliyotokana na Kanisa Katoliki Ulaya Kaskazini katika karne XVI kufuatana na tapo la kidini na la kisiasa maarufu kwa jina la "Matengenezo ya Kiprotestanti". Wahusika wakuu wa tapo hilo ni Martin Luther na Yohane Kalvini.

Asili ya jina

Mwaka 1529, kikao cha Bunge la Speyer (Ujerumani) lilikataza tena uenezaji wa Matengenezo nchini mpaka Mtaguso mkuu utakaporudisha utaratibu ndaniya Kanisa.

Lakini watawala waliomuunga mkono Luther walitoa hati ya pamoja inayoanza na maneno Protestamur, yaani 'Tunapinga'.

Mwaka 1555 Amani ya Augsburg ilipitisha kauli ya kwamba cuius regio, eius religio, yaani kila raia anapaswa kufuata madhehebu ya eneo anamoishi, kadiri ilivyopangwa na mtawala wake, la sivyo ni lazima ahame.

Teolojia

Uprotestanti unagawanyika katika maelfu ya madhehebu tofauti, lakini inawezekana kutambua mambo kadhaa yanayolingana katika yote:

  • kusisitiza Biblia kama msingi wa imani.
  • kusisitiza "wokovu kwa njia ya imani".
  • kusisitiza ukosefu wa binadamu na haja ya damu ya Yesu kama kafara iliyopangwa na Mungu.