Hesse : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: th:รัฐเฮส์เซ่น |
d roboti Badiliko: ga:Hessen |
||
Mstari 61: | Mstari 61: | ||
[[fur:Assie]] |
[[fur:Assie]] |
||
[[fy:Hessen]] |
[[fy:Hessen]] |
||
[[ga: |
[[ga:Hessen]] |
||
[[gd:Hesse]] |
[[gd:Hesse]] |
||
[[gl:Hessen]] |
[[gl:Hessen]] |
Pitio la 19:00, 31 Oktoba 2009
Hesse (Kijerumani:Hessen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 6,1 kwenye eneo la 21 114 km². Mji mkuu ni Wiesbaden. Waziri mkuu ni Roland Koch (CDU).
Jiografia
Hesse imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine Kaskazini - Westfalia, Saksonia ya chini, Thuringia, Rhine-Palatino, Baden-Württemberg na Bavaria.
Miji mikubwa ni pamoja na Frankfurt, Wiesbaden, Kassel, Darmstadt, Offenbach, Marburg, Fulda, Gießen, Wetzlar, Hanau na Bad Homburg.
Rhine, Lahn na Main ni mito muhimu zaidi.
Picha za Hesse
-
Frankfurt
-
Wiesbaden
-
Kassel
-
Darmstadt
-
Offenbach
-
Marburg
-
Fulda
-
Gießen
-
Wetzlar
-
Hanau
-
Limburg