Hesse : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ga:Hessen
Mstari 61: Mstari 61:
[[fur:Assie]]
[[fur:Assie]]
[[fy:Hessen]]
[[fy:Hessen]]
[[ga:Hesse]]
[[ga:Hessen]]
[[gd:Hesse]]
[[gd:Hesse]]
[[gl:Hessen]]
[[gl:Hessen]]

Pitio la 19:00, 31 Oktoba 2009

Mahali pa Hesse katika Ujerumani

Hesse (Kijerumani:Hessen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 6,1 kwenye eneo la 21 114 km². Mji mkuu ni Wiesbaden. Waziri mkuu ni Roland Koch (CDU).

Jiografia

Hesse imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine Kaskazini - Westfalia, Saksonia ya chini, Thuringia, Rhine-Palatino, Baden-Württemberg na Bavaria.

Miji mikubwa ni pamoja na Frankfurt, Wiesbaden, Kassel, Darmstadt, Offenbach, Marburg, Fulda, Gießen, Wetzlar, Hanau na Bad Homburg.

Rhine, Lahn na Main ni mito muhimu zaidi.



Picha za Hesse

Tovuti za Nje