Taiwan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ar:تايوان (جزيرة)
d roboti Nyongeza: tl:Formosa
Mstari 67: Mstari 67:
[[te:తైవాన్]]
[[te:తైవాన్]]
[[th:เกาะไต้หวัน]]
[[th:เกาะไต้หวัน]]
[[tl:Formosa]]
[[tpi:Taiwan]]
[[tpi:Taiwan]]
[[tr:Tayvan]]
[[tr:Tayvan]]

Pitio la 05:43, 25 Oktoba 2009

Ramani ya Taiwan

Taiwan (pia: Formosa) ni kisiwa cha Asia ya Mashariki katika Pasifiki. Iko upande wa kusini-mashariki ya China, kusini ya Japani na kaskazini ya Ufilipino. Jina la zamani la Taiwan ilikuwa "Formosa" (kireno: kisiwa kizuri, cha kupendeza)

Taiwan ni pia sehemu kubwa ya eneo la Jamhuri ya China iliyoko kisiwani Taiwan na pia kwenye visiwa vingine vidogo nje ya China bara.

Miji mikubwa ni Taipei na Kaohsiung.

Wakazi walio wengi ni Wachina wa Han. Kuna pia wakazi asilia.

Kisiwa kinadaiwa na Jamhuri ya Watu wa China kama eneo lake.

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Taiwan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.