Ambrosi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d roboti Badiliko: ca:Ambròs de Milà
Mstari 69: Mstari 69:


[[be:Амвросій Міланскі]]
[[be:Амвросій Міланскі]]
[[ca:Sant Ambròs]]
[[ca:Ambròs de Milà]]
[[cs:Svatý Ambrož]]
[[cs:Svatý Ambrož]]
[[da:Skt. Ambrosius]]
[[da:Skt. Ambrosius]]

Pitio la 16:42, 19 Oktoba 2009

Mt. Ambrosi alivyochorwa kwa nakshi za mawe katika kanisa lake huko Milano

Aureli Ambrosi (334/339 - 397), alikuwa askofu wa Milano kuanzia mwaka 374 hadi kifo chake.

Ndiye aliyemuongoa na kumbatiza Agostino wa Hippo

Anaheshimiwa kama mtakatifu, babu wa Kanisa na mwalimu wa Kanisa. Sikuku yake ni tarehe 7 Desemba kila mwaka.

Maandishi yake

Ufafanuzi wa Biblia

  • Hexameron
  • De Paradiso
  • De Cain et Abel
  • De Noe
  • De Abraham
  • De Isaac et Anima
  • De Bono Mortis
  • De Fuga Saeculi
  • De Jacob et Vita Beata
  • De Joseph
  • De Patriarchis
  • De Helia e Jejunio
  • De Nabuthae Historia
  • De Tobia
  • De Interpellatione Job et David
  • De Apologia Profhetae David
  • Ennarrationes in XII Psalmos Davidicos
  • Expositio Psalmi CXVIII
  • Esposizione Evangelii Lucae
  • Expositio Isaiae Prophetae

Kuhusu dogma

  • De Fide ad Gratianum
  • De Spiritu Sancto
  • De Incarnationis Dominicae Sacramento
  • Explanatio Symboli ad Initiandos
  • Expositio Fidei
  • De Mysteriis
  • De Sacramentis
  • De Poenitentia
  • De Sacramento regenerationis vel de Philosophia

Kuhusu maadili na maisha ya kiroho

  • De Officiis Ministrorum
  • De Virginibus
  • De Viduis
  • De Virginitate
  • De Instituitione Virginis
  • Exhortatio Virginitatis

Mengineyo

  • De obitu Theodosii
  • Epistulae, hymni, etc.

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.