Nathari : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: gan:散文; cosmetic changes
d {{mbegu-lugha}}
Mstari 7: Mstari 7:
Wamitila, K.W. 2003. ''Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia'', Nairobi: Focus Books.
Wamitila, K.W. 2003. ''Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia'', Nairobi: Focus Books.


{{mbegu}}
{{mbegu-lugha}}


[[Jamii:Fasihi]]
[[Jamii:Fasihi]]

Pitio la 14:38, 19 Oktoba 2009

Nathari ni tawi moja la fasihi andishi. Tofauti na tenzi au ushairi unaoleta ujumbe wake kwa umbo ya mabeti nathari haina umbo maalumu au viwango vya muundo au taratibu. Hivyo inaweza kufanana na mazungumzo ya kila siku.

Nathari inafaa kwa habari na masimulizi. Inatumiwa kwenye magazeti, vitabu, jarida au kamusi.


Marejeo

Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nathari kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.