Musoma (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
Jamii:Mkoa wa Mara
Mstari 26: Mstari 26:
{{mbegu-jio-mara}}
{{mbegu-jio-mara}}


[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Mara|M]]
[[Jamii:Wilaya za Mkoa wa Mara|M]]
[[Jamii:Miji ya Tanzania]]
[[Jamii:Miji ya Tanzania]]

Pitio la 11:32, 23 Septemba 2009


Jiji la Musoma
Jiji la Musoma is located in Tanzania
Jiji la Musoma
Jiji la Musoma

Mahali pa mji wa Musoma katika Tanzania

Majiranukta: 1°29′24″S 33°48′0″E / 1.49000°S 33.80000°E / -1.49000; 33.80000
Nchi Tanzania
Mkoa Mara
Wilaya Musoma Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 108 242

Musoma ni mji wa Tanzania ya kaskazini uliopo kando la mashariki la Ziwa Viktoria Nyanza karibu na mpaka wa Kenya. Ni makao makuu ya Mkoa wa Mara na wilaya ya Musoma mjini. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 108,242 [1].

Marejeo na Viungo vya Nje

  • Matokeo ya sensa ya 2002 kwa mkoa wa Mara
  • Kata za Wilaya ya Musoma Mjini - Mkoa wa Mara - Tanzania

    Buhare | Bweri | Iringo | Kamunyonge | Kigera | Kitaji | Kwangwa | Makoko | Mshikamano | Mukendo | Mwigobero | Mwisenge | Nyakato | Nyamatare | Nyasho | Rwamlimi


    Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu.
    Je unajua kitu kuhusu Musoma (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
    Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

    Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno.