Nyuki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: war:Bubuyog
Masahihisho na nyongesa spishi
Mstari 6: Mstari 6:
| maelezo_ya_picha = Nyuki anayekusanya mbelewele
| maelezo_ya_picha = Nyuki anayekusanya mbelewele
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] (Wanyama)
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] (Wanyama)
| faila = [[Arthropodi]] (Wanyama wasio na ugwe wa mgongo na miguu ya kuunga kama wadudu, nge, buibui)
| faila = [[Arthropodi|Arthropoda]] (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
| nusufaila = [[Hexapoda]] (Wanyama wenye miguu sita)
| ngeli = [[Wadudu]]
| oda = [[Hymenoptera]] (Wadudu wenye mabavu angavu)
| ngeli = [[Insecta]] (Wadudu)
| familia = [[Apidae]] (Wadudu wanaofanana na nyuki)
| ngeli_ya_chini = [[Pterygota]] (Wadudu wenye mabawa)
| oda = [[Hymenoptera]] (Wadudu wenye mabawa mangavu)
| jenasi = Apis (nyuki wa asali)
| nusuoda = [[Apocrita]] (Hymenoptera wenye kiuno chembamba sana)
| bingwa_wa_jenasi =
| familia = [[Apidae]] (Wadudu walio na mnasaba na [[nyuki]])
| spishi = spishi saba, hasa Apis mellifera (Ulaya, Afrika) na Apis cerana (Asia)
| jenasi = Apis (Nyuki wa asali)
| bingwa_wa_spishi =
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758
| spishi = Angalia katiba
}}
}}


Mstari 35: Mstari 37:
* nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogo, kultetea mzinga
* nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogo, kultetea mzinga
* nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa na malkia; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena
* nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa na malkia; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena

==Spishi na nususpishi za Afrika==
* ''Apis mellifera''
** ''Apis m. adansonsii'', [[Nyuki-asali wa Adanson]]
** ''Apis m. capensis'', [[Nyuki-asali kusi]]
** ''Apis m. intermissa'', [[Nyuki-asali mweusi]]
** ''Apis m. jemenitica'', [[Nyuki-asali wa Pembe la Afrika]]
** ''Apis m. lamarckii'', [[Nyuki-asali wa Lamarck]]
** ''Apis m. litorea'', [[Nyuki-asali pwani]]
** ''Apis m. major'', [[Nyuki-asali wa Maroko]]
** ''Apis m. monticola'', [[Nyuki-asali milimani]]
** ''Apis m. nubica'', [[Nyuki-asali wa Sudani]]
** ''Apis m. sahariensis'', [[Nyuki-asali jangwani]]
** ''Apis m. scutellata'', [[Nyuki-asali wa Afrika]]
** ''Apis m. unicolor'', [[Nyuki-asali wa Madagaska]]

==Spishi za Asia==
* ''Apis florea'' ([[w:Apis florea|Red Dwarf Honey Bee]])
* ''Apis andreniformis'' ([[w:Apis andreniformis|Black Dwarf Honey Bee]])
* ''Apis dorsata'' ([[w:Apis dorsata|Giant Honey Bee]])
* ''Apis cerana'' ([[w:Apis cerana|Asiatic Honey Bee]])
* ''Apis nigrocincta'' ([[w:Apis nigrocincta|Philippine Honey Bee]])


{{commonscat|Bee|Nyuki}}
{{commonscat|Bee|Nyuki}}

Pitio la 12:06, 13 Septemba 2009

Nyuki
Nyuki anayekusanya mbelewele
Nyuki anayekusanya mbelewele
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
Nusufaila: Hexapoda (Wanyama wenye miguu sita)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Ngeli ya chini: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Oda: Hymenoptera (Wadudu wenye mabawa mangavu)
Nusuoda: Apocrita (Hymenoptera wenye kiuno chembamba sana)
Familia: Apidae (Wadudu walio na mnasaba na nyuki)
Jenasi: Apis (Nyuki wa asali)
Linnaeus, 1758
Spishi: Angalia katiba

Nyuki ni mdudu mwenye mabawa manne angavu na mwiba kwenye nyuma ya mwili wake anayekusanya mbelewele ya maua kama chakula chake. Aina inayojulikana hasa ni nyuki wa asali wa familia apis. Kuna spishi zaidi za 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi apis wanaokusanya asali inayovunwa na wanadamu.

Nyuki za asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.

Mwili wa nyuki

Mwili wa nyuki

Mwili una pande tatu jinsi ilvyo kwa wadudu wote: kichwa mbele, kidari katikati na tumbo nyuma, halafu jozi tatu za miguu na jozi mbili za mabawa.

Mwili huwa na nywele na ina rangi kali za njano-nyeusi kama onyo dhidi ya maadui.

Nyuma ya tumbo wanabeba mwiba wanaotumia kudunga wakijisikia wameshambuliwa. Wakidunga mwiba wanaingiza pia kiasi kidogo cha sumu katika kidonda. Sumu hii inasababisha maumivu na watu wengine wanaathiriwa vikali lakini si kila mtu. Kuna nyuki wanaokufa baada ya kudunga kwa sababu mwiba unabaki kwenye kidonda lakini wengine wanaweza kutoa mwiba na kudunga tena.

Wadudu wa kijamii

Nyuki asali ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga sega ya nta ndani ya mzinga wa nyuki na humu wanatunza asali yao.

Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi na mzinga wao ambao ni

  • malkia wa nyuki ni mama wa nyuki wote ndani ya kundi na kazi yake ni kutega mayai pekee
  • nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogo, kultetea mzinga
  • nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa na malkia; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena

Spishi na nususpishi za Afrika

Spishi za Asia

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nyuki kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.