Ghuba ya Bengali : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ur:خلیج بنگال
Mstari 66: Mstari 66:
[[ru:Бенгальский залив]]
[[ru:Бенгальский залив]]
[[sh:Bengalski zaliv]]
[[sh:Bengalski zaliv]]
[[si:බෙංගාල බොක්ක]]
[[simple:Bay of Bengal]]
[[simple:Bay of Bengal]]
[[sk:Bengálsky záliv]]
[[sk:Bengálsky záliv]]

Pitio la 19:13, 8 Septemba 2009

Ghuba ya Bengali kati ya Bara Hindi na Rasi ya Malay
Mashua ya wavuwi kwenye Ghuba ya Bengali

Ghuba ya Bengali ni hori kubwa ya Bahari Hindi kati ya Bara Hindi, Rasi ya Malay na Sri Lanka yenye umbo la pembetatu. Jina la Bengal limetokana na jimbo la Bengali ya Magharibi katika Uhindi na nchi ya Bangladesh. Bahari ya Andamani inahesabiwa wakati mwingine kuwa sehemu ya ghuba ya Bengal lakini mara nyingi hutazamiwa kama gimba la maji la pekee.

Nchi jirani

Nchi zinazopakana na ghuba ni Sri Lanka, Uhindi, Bangladesh na Myanmar. Kama Bahari ya Andamani inahesabiwa kuwa sehemu ya ghuba hata nchi za Uthai na Indonesia zinapaswa kutajwa hapa.

Mito inayoishia humo

Mito mikubwa ya Bara Hindi inayoishia katika Ghuba ya Bengali ni: mto Ganga, mto Meghna, mto Brahmaputra, mto Godavari, mto Krishna na mto Kaveri.

Mto Ayeyarwady wa Myanmar unaishia pia katika ghuba hii.

Mabandari

Mabandari muhimu kwenye ghuba ni: