Granada : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: haw:Granada Badiliko: eu:Granada (Espainia)
d roboti Nyongeza: ka:გრანადა
Mstari 46: Mstari 46:
[[ja:グラナダ]]
[[ja:グラナダ]]
[[jv:Granada]]
[[jv:Granada]]
[[ka:გრანადა]]
[[kab:Granada]]
[[kab:Granada]]
[[ko:그라나다 (스페인)]]
[[ko:그라나다 (스페인)]]

Pitio la 12:37, 4 Septemba 2009

Uwanja wa simba katika Alhambra mjini Granada
Mlango wa kanisa kuu la Granada

Granada ni mji katika kusini ya Hispania kwenye jimbo la Andalusia. Kuna wakazi 233,000. Uko mguuni wa milima ya Sierra Nevada katika bonde la mito Genil na Darro inayokutana mjini.

Mji una majengo mashuhuri sana kama vile Alhambra na makanisa yake. Kati ya 711 hadi 1492 ilitawaliwa na Waarabu. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya kihistoria hadi leo hii.

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Hispania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Granada kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.