Maputo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
infobox
d roboti Nyongeza: wo:Maputo
Mstari 97: Mstari 97:
[[vi:Maputo]]
[[vi:Maputo]]
[[war:Maputo]]
[[war:Maputo]]
[[wo:Maputo]]
[[zh:马普托]]
[[zh:马普托]]
[[zh-min-nan:Maputo]]
[[zh-min-nan:Maputo]]

Pitio la 11:52, 24 Agosti 2009


Jiji la Maputo
Nchi Msumbiji
Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Maputo katika Msumbiji
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905

Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.

Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.

Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maputo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.