Paul Simon : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Picha:Paul Simon 2007.jpg
d roboti Badiliko: uk:Пол Саймон
Mstari 38: Mstari 38:
[[th:พอล ไซมอน]]
[[th:พอล ไซมอน]]
[[tr:Paul Simon]]
[[tr:Paul Simon]]
[[uk:Саймон Пол]]
[[uk:Пол Саймон]]
[[vi:Paul Simon]]
[[vi:Paul Simon]]
[[zh:保罗·西蒙]]
[[zh:保罗·西蒙]]

Pitio la 23:08, 16 Agosti 2009

Paul Simon, 1990

Paul Simon ni mwanamuziki wa country, anaimba na kupiga gitaa. Amewahi kushirikiana na wanamuziki wengi; moja ya makundi hayo ni Ladysmith Black Mambazo. Nyimbo alizowahi kuimba ni "Homeless", "Mother and child reunion" na "Diamond in the sole of her shoes".

Paul Simon alizaliwa tarehe 13 Oktoba, 1941 katika mji wa Newark Height, New Jersey. Huko alifahamika kama muimbaji na mtunzi mwenye asili ya kiyahudi. Aliwahi kufunga ndoa mara tatu, ana watoto wanne. Mmojawapo ni mpigaji gitaa kama baba yake.

Makala hii kuhusu muziki wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paul Simon kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.