Kathmandu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
infobox
d {{sisterlinks}} → {{commons}}
Mstari 20: Mstari 20:


{{mbegu-jio-Asia}}
{{mbegu-jio-Asia}}
{{sisterlinks}}
{{Commons}}

[[Jamii:Miji ya Nepal]]
[[Jamii:Miji ya Nepal]]
[[Jamii:Miji Mikuu Asia]]
[[Jamii:Miji Mikuu Asia]]

Pitio la 21:30, 15 Agosti 2009


Jiji la Kathmandu
Nchi Nepal
Mahekalu kwenye uwanda wa Durbar mjini Kathmandu

Kathmandu (Kinepali: काठमाडौं, काठमान्डु)ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Nepal mwenye wakzi milioni 1.5. Iko katika bonde la Kathmandu kando la mto Bagmati kwenye milima ya Himalaya kwa kimo cha mita 1,300. Miji ya Patan na Bhaktapur iko karibu. Mahali pake ni 27°43′N 85°22′E.

Mji una mahekalu mengi mazuri ya Uhindu na Ubuddha pamoja na ynumba za kihistoria. Bonde lote la Kathmandu liliingizwa na UNESCO katika orodha la urithi wa dunia.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kathmandu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: