Roseau : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+ Infobox Settlement |
d roboti Nyongeza: pap:Roseau |
||
Mstari 59: | Mstari 59: | ||
[[nov:Roseau]] |
[[nov:Roseau]] |
||
[[oc:Roseau]] |
[[oc:Roseau]] |
||
[[pap:Roseau]] |
|||
[[pl:Roseau]] |
[[pl:Roseau]] |
||
[[pms:Roseau]] |
[[pms:Roseau]] |
Pitio la 23:01, 10 Agosti 2009
Jiji la Roseau | |
Nchi | Dominica |
---|
Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.
Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|