N : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: id:N (huruf) |
SpBot (majadiliano | michango) d roboti Ondoa: id:N (huruf) |
||
Mstari 48: | Mstari 48: | ||
[[ht:N]] |
[[ht:N]] |
||
[[hu:N]] |
[[hu:N]] |
||
[[id:N (huruf)]] |
|||
[[ilo:N]] |
[[ilo:N]] |
||
[[is:N]] |
[[is:N]] |
Pitio la 10:36, 9 Agosti 2009
Alfabeti ya Kilatini (kwa matumizi ya Kiswahili) | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
Aa | Bb | Cc | ch | Dd | ||
Ee | Ff | Gg | Hh | Ii | Jj | |
Kk | Ll | Mm | Nn | Oo | Pp | |
Rr | Ss | Tt | Uu | Vv | ||
Ww | Xx | Yy | Zz |
N ni herufi ya 14 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Nun ya alfabeti ya Kigiriki.
Maana za N
- Katika Kemia N ni alama ya elementi ya Nitrojeni
- Kwa magari N ni alama ya gari kutoka Norwei.
- katika fizikia "n" ni alama ya nyutroni
- kwa vipimo "N" ni kifupi cha nyutoni (newton) ambacho ni kizio cha kupima kazi.
Historia ya N
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |