Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
Mstari 11: Mstari 11:
[[ca:Auguste Beernaert]]
[[ca:Auguste Beernaert]]
[[de:Auguste Beernaert]]
[[de:Auguste Beernaert]]
[[en:Auguste Marie Francois Beernaert]]
[[en:Auguste Marie François Beernaert]]
[[es:Auguste Beernaert]]
[[es:Auguste Beernaert]]
[[fr:Auguste Beernaert]]
[[fr:Auguste Beernaert]]

Pitio la 01:50, 25 Desemba 2006

Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 18296 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.