Charles-Albert Gobat : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 6: | Mstari 6: | ||
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani|G]] |
[[Category:Tuzo ya Nobel ya Amani|G]] |
||
[[en:Charles |
[[en:Charles Albert Gobat]] |
Pitio la 21:19, 23 Desemba 2006
Charles-Albert Gobat (21 Mei, 1834 – 16 Machi, 1914) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Uswisi. Pia alikuwa mkurugenzi wa Ofisi ya Amani ya Kimataifa. Mwaka wa 1902, pamoja na Elie Ducommun alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |