William Henry Harrison : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d →‎Tazamia pia: jamii:Rais wa Marekani → jamii:Marais wa Marekani
d roboti Nyongeza: war:William Henry Harrison
Mstari 78: Mstari 78:
[[uk:Вільям Генрі Гаррісон]]
[[uk:Вільям Генрі Гаррісон]]
[[vi:William Henry Harrison]]
[[vi:William Henry Harrison]]
[[war:William Henry Harrison]]
[[yi:וויליאם הענרי העריסאן]]
[[yi:וויליאם הענרי העריסאן]]
[[zh:威廉·亨利·哈里森]]
[[zh:威廉·亨利·哈里森]]

Pitio la 07:01, 1 Agosti 2009

William Henry Harrison

William Henry Harrison (9 Februari, 17734 Aprili, 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja tu wakati wa mwaka wa 1841 hadi kifo chake. Alikuwa rais wa kwanza kufariki madarakani. Kaimu Rais wake alikuwa John Tyler aliyemfuata kama Rais. Mjukuu wake aliyeitwa Benjamin Harrison alikuwa Rais wa 23.

Tazamia pia

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu William Henry Harrison kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.