Bukoba (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
→‎Marejeo: tanzania-geo-stub ==> mbegu-jio-TZ, Replaced: {{tanzania-geo-stub}} → {{mbegu-jio-TZ}}, using AWB
→‎Marejeo: mbegu-jio-kagera using AWB
Mstari 22: Mstari 22:
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}}
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}}


{{mbegu-jio-TZ}}
{{mbegu-jio-kagera}}


[[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]]
[[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]]

Pitio la 05:09, 1 Agosti 2009


Jiji la Bukoba
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Bukoba Mjini

Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221. [1]

Bukoba iko kando la Ziwa Viktoria Nyanza upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa.

Marejeo

Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini - Mkoa wa Kagera - Tanzania

Bakoba | Bilele | Buhembe | Hamugembe | Ijuganyondo | Kagondo | Kahororo | Kashai | Kibeta | Kitendaguro | Miembeni | Nshambya | Nyanga | Rwamishenye


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bukoba (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.