Heike Kamerlingh Onnes : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-mwanasayansi |
d roboti Nyongeza: sk:Heike Kamerlingh Onnes |
||
Mstari 46: | Mstari 46: | ||
[[ro:Heike Kamerlingh Onnes]] |
[[ro:Heike Kamerlingh Onnes]] |
||
[[ru:Камерлинг-Оннес, Хейке]] |
[[ru:Камерлинг-Оннес, Хейке]] |
||
[[sk:Heike Kamerlingh Onnes]] |
|||
[[sl:Heike Kamerlingh Onnes]] |
[[sl:Heike Kamerlingh Onnes]] |
||
[[sv:Heike Kamerlingh Onnes]] |
[[sv:Heike Kamerlingh Onnes]] |
Pitio la 10:03, 29 Julai 2009
Heike Kamerlingh Onnes (21 Septemba, 1853 – 21 Februari, 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Alichunguza elementi katika hali ya baridi sana. Pia alifaulu kuoesha elementi ya heliamu. Mwaka wa 1913 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Heike Kamerlingh Onnes kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |