Bukoba (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
→‎Marejeo: Jamii Wilaya ya Bukoba Mjini using AWB
→‎Marejeo: tanzania-geo-stub ==> mbegu-jio-TZ, Replaced: {{tanzania-geo-stub}} → {{mbegu-jio-TZ}}, using AWB
Mstari 21: Mstari 21:


{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}}
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}}

{{mbegu-jio-TZ}}


[[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]]
[[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]]
Mstari 26: Mstari 28:
[[Jamii:Miji ya Tanzania]]
[[Jamii:Miji ya Tanzania]]
[[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]]
[[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]]


{{tanzania-geo-stub}}


[[da:Bukoba]]
[[da:Bukoba]]

Pitio la 23:20, 23 Julai 2009


Jiji la Bukoba
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Bukoba Mjini

Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221. [1]

Bukoba iko kando la Ziwa Viktoria Nyanza upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa.

Marejeo

Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini - Mkoa wa Kagera - Tanzania

Bakoba | Bilele | Buhembe | Hamugembe | Ijuganyondo | Kagondo | Kahororo | Kashai | Kibeta | Kitendaguro | Miembeni | Nshambya | Nyanga | Rwamishenye