Bukoba (mji) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}} |
{{Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini}} |
||
{{mbegu-jio-TZ}} |
|||
[[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]] |
[[Jamii:Mkoa wa Kagera|B]] |
||
Mstari 26: | Mstari 28: | ||
[[Jamii:Miji ya Tanzania]] |
[[Jamii:Miji ya Tanzania]] |
||
[[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]] |
[[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]] |
||
{{tanzania-geo-stub}} |
|||
[[da:Bukoba]] |
[[da:Bukoba]] |
Pitio la 23:20, 23 Julai 2009
Jiji la Bukoba | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Kagera |
Wilaya | Bukoba Mjini |
Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221. [1]
Bukoba iko kando la Ziwa Viktoria Nyanza upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa.
Marejeo
Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini - Mkoa wa Kagera - Tanzania | ||
---|---|---|
Bakoba | Bilele | Buhembe | Hamugembe | Ijuganyondo | Kagondo | Kahororo | Kashai | Kibeta | Kitendaguro | Miembeni | Nshambya | Nyanga | Rwamishenye |
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bukoba (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |