Afrika : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
seems like better place
Mstari 3: Mstari 3:
'''Afrika''' ni [[bara]] kubwa la pili duniani. Bara hili lina eneo la kilometa za mraba 30,244,050 na zaidi ya wakazi milioni 800. [[Asia]] ndio bara pekee kubwa kushinda Afrika.
'''Afrika''' ni [[bara]] kubwa la pili duniani. Bara hili lina eneo la kilometa za mraba 30,244,050 na zaidi ya wakazi milioni 800. [[Asia]] ndio bara pekee kubwa kushinda Afrika.


==Jina la Afrika==
==Jina la Afrika==
[[Image:Africa satellite plane.jpg|thumbnail|right|250px|Afrika]]
{{Afrikamap|float=right}}
<div style="clear: both"></div>
Neno "Afrika" limepatikana kutokana na lugha ya [[Kilatini]] ya [[Roma|Waroma]] wa Kale. Waroma hawakumaanisha bara lote kwa jina hili bali eneo katika [[Tunisia]] ya leo tu. Asili yake ni katika kabila au taifa la "Afrig" walioishi sehemu zile.
Neno "Afrika" limepatikana kutokana na lugha ya [[Kilatini]] ya [[Roma|Waroma]] wa Kale. Waroma hawakumaanisha bara lote kwa jina hili bali eneo katika [[Tunisia]] ya leo tu. Asili yake ni katika kabila au taifa la "Afrig" walioishi sehemu zile.


Mstari 20: Mstari 19:
==Nchi za Afrika==
==Nchi za Afrika==
''Tazama makala ya pekee "[[Orodha ya nchi za Afrika]]''
''Tazama makala ya pekee "[[Orodha ya nchi za Afrika]]''
{{Afrikamap|float=right}}
<div style="clear: both"></div>
[[Image:Africa satellite plane.jpg|thumbnail|right|250px|Afrika]]


==Vitabu==
==Vitabu==

Pitio la 17:41, 14 Desemba 2006

Afrika duniani

Afrika ni bara kubwa la pili duniani. Bara hili lina eneo la kilometa za mraba 30,244,050 na zaidi ya wakazi milioni 800. Asia ndio bara pekee kubwa kushinda Afrika.

Jina la Afrika

Afrika

Neno "Afrika" limepatikana kutokana na lugha ya Kilatini ya Waroma wa Kale. Waroma hawakumaanisha bara lote kwa jina hili bali eneo katika Tunisia ya leo tu. Asili yake ni katika kabila au taifa la "Afrig" walioishi sehemu zile.

Wakati huu Wagiriki wa Kale walitumia zaidi jina la Libya kwa ajili ya nchi kusini ya Bahari ya Mediteraneo. Maeneo ya ndani kuelekea kusini mara nyingi yaliitwa kwa jina la "Ethiopia" linalomaanisha nchi ya watu weusiweusi (kigiriki "aithiops": aliyechomwa na jua).

Katika ramani za kale kutoka Ulaya maneno yote matatu ya "Afrika", "Lybia" na "Ethiopia" yanapatikana yakitumika kama jina la bara. Jina la "Afrika" limekuwa kawaida kuanzia karne ya 16. BK.

Lugha

tazama makala "Lugha za Afrika"

Zaidi ya lugha elfu ya Kiafrika zinazungumzwa katika Afrika leo. Lugha za Ulaya zinazumgumzwa pia, haswa Kiingereza, Kifaransa na Kireno. Kiafrikaans ni lugha ya pekee ya Afrika Kusini yenye asili ya Ulaya. Lugha za Kibantu (kwa mfano Kiswahili) ni lugha muhimu katika Afrika ya Kusini, Afrika ya Kati na Afrika ya Mashariki. Kiarabu ni lugha muhimu Afrika ya Kaskazini.


Nchi za Afrika

Tazama makala ya pekee "Orodha ya nchi za Afrika


Vitabu