Lindi (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Marejeo infobox
Jamii:Mkoa wa Lindi
Mstari 29: Mstari 29:


[[Category:Miji ya Tanzania]]
[[Category:Miji ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Lindi]]


[[da:Lindi]]
[[da:Lindi]]

Pitio la 18:29, 20 Julai 2009


Jiji la Lindi
Nchi Tanzania
Mkoa Lindi
Wilaya Lindi Mjini

Lindi ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Lindi. Lindi iko mdomoni wa mto Lukuledi takriban 150 km kaskazini ya Mtwara mwambaoni wa Bahari Hindi. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 41,549 [1]

Lindi ilikuwa kati ya miji ya Waswahili kwenye pwani la bahari. Mdomo wa Lukuledi ilikuwa bandari nzuri kwa ajili ya jahazi za Waswahili na pia kwa meli ndogo za zamani za ukoloni. Siku hizi haitoshi tena kwa meli kubwa.

Wakati wa ukoloni wa Wajerumani ilikuwa makao makuu ya kusini-mashariki ya Tanzania bara. Ilikuwa kituo cha Posta na pia cha kikosi na. 3 cha jeshi la Kijerumani. Ilibaki kitovu cha eneo chini ya Waingereza hadi kujengwa kwa bandari ya Mtawara. Mazao ya kibiashara yalikuwa hasa katani baadaye pia korosho.

Maendeleo ya Lindi ilikwama kutokana na hali mbaya za barabara amabazo hazikutunzwa vizuri wakati wa uhuru. Kuna matumaini ya kwamba mipango ya barabara ya lami ya Dar es Salaam - Mtwara itandelea baada ya kukamilika kwa daraja la mto Rufiji.

Marejeo

Kata za Wilaya ya Lindi Mjini - Tanzania

Chikonji | Jamhuri | Kilangala | Kilolambwani | Kitomanga | Kitumbikwela | Kiwawa | Makonde | Matimba | Matopeni | Mbanja | Mchinga | Mikumbi | Milola | Mingoyo | Mipingo | Mitandi | Mnazimmoja | Msinjahili | Mtanda | Mvuleni | Mwenge | Nachingwea | Nangaru | Ndoro | Ng'apa | Rahaleo | Rasbura | Rutamba | Tandangongoro | Wailes