Tours : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mbegu-jio-Ufaransa |
Jamii:Centre |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
[[Category:Miji ya Ufaransa]] |
[[Category:Miji ya Ufaransa]] |
||
[[Jamii:Mto Loire]] |
[[Jamii:Mto Loire]] |
||
[[Jamii: |
[[Jamii:Centre]] |
||
[[an:Tours]] |
[[an:Tours]] |
Pitio la 02:23, 19 Julai 2009
Tours ni mji wa Ufaransa ya kati mwenye wakazi 143,000. Uko kando la mto Loire.
Mji unajulikana kihistoria kutokana na askofu Martin wa Tours (mnamo 370) anayekumbukwa kama mtakatifu katika kanisa katoliki.
Mwaka 732 mfalme wa Wafranki Karolo Martell alishinda jeshi la Waarabu katika mapigano ya Tours na Poitiers na kuzuia uenezaji wa Uislamu katika Ulaya ya Magharibi.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tours kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |