Kanuni ya Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
mbegu-fizikia
Mstari 4: Mstari 4:
[[Category:Nadharia ya Atomu]]
[[Category:Nadharia ya Atomu]]


{{mbegu}}
{{mbegu-fizikia}}


[[ar:مبدأ استبعاد باولي]]
[[ar:مبدأ استبعاد باولي]]

Pitio la 20:04, 16 Julai 2009

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.

Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanuni ya Pauli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.